T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,931
- 30,078
Wa moto
Usiwe na haraka. Vipi nikituma ya uongo je?
Hiyo kwenye kachupa hapo inaitwaje asee???
Kwanini utume ya uongo?Usiwe na haraka. Vipi nikituma ya uongo je?

Kuwa basi na subira. Halafu boss ni Mungu.Kwanini utume ya uongo?
Hujui ngojangoja huumiza matumbo??
Eti boss
Sent using Jamii Forums mobile app






Kwamba umepambana vizuri na kuliko tukuka sehemu uliyotokea!!
Kwema bageshi. Natumaini hujambo pamoja na wapendwa wako. Tumshukuru Mungu bageshiKwamba umepambana vizuri na kuliko tukuka sehemu uliyotokea!!
Bhageshi kwema



Sure"The razor blade is sharp but can't cut a tree,
The axe is strong but can't cut the hair."
Everyone is important according to his/her own unique purpose......Never look down on anyone unless you're admiring their shoes.....