Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20211103_094311_0.jpg
 
SOMA NENO LA MUNGU

Mhubiri 7 : 8 -11

8 Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake, Na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi.

9 Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.

10 Usiseme, Kwani siku za kale kupita siku hizi? Maana si kwa hekima uulizavyo neno hilo.

11 Hekima ni njema, mfano wa urithi; Naam, nayo ni bora kwao walionao jua.

Mbingu Ipo
 
Back
Top Bottom