Imekaa vizuri hii.
Wanaume tunashughuli sana! Ukinyamaza unaambiwa kiburi, ukiongea unaambiwa shut up!! Na bado unaombwa pesa ya chakula.
Sio kweliiii weeee
Umeshamkamua ng'ombe wa jirani usiku usiku kimagendo




Maji ni muhimu sana. Achana na hiyo tabia mara moja. Usije ukawaletea uharibifu wa kudumu hawa tireless toilers huko mbele ya safari.
Wachawi mkiokoka huwa mnakuwa washika Neno wazuri sana. Thenki yu JizaziSOMA NENO LA MUNGU
Mhubiri 7 : 8 -11
8 Heri mwisho wa neno kuliko mwanzo wake, Na mvumilivu rohoni kuliko mwenye roho ya kiburi.
9 Usifanye haraka kukasirika rohoni mwako, Maana hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.
10 Usiseme, Kwani siku za kale kupita siku hizi? Maana si kwa hekima uulizavyo neno hilo.
11 Hekima ni njema, mfano wa urithi; Naam, nayo ni bora kwao walionao jua.
Mbingu Ipo
![]()



Asante Mkuu Kwa ushauriMaji ni muhimu sana. Achana na hiyo tabia mara moja. Usije ukawaletea uharibifu wa kudumu hawa tireless toilers huko mbele ya safari.
View attachment 1997326

Umeshamkamua ng'ombe wa jirani usiku usiku kimagendo
Kesho asubuhi maziwa safiii kabisa

Kuwa alert tu nitatuma.
Sure ila tule kwa afya.
Sure ila tule kwa afya.