Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 6,156
- 7,807
Wallah nakuambia wewe mremboSema wallah
Wallah nakuambia wewe mremboSema wallah
Ilikuwa dakika,siku hatimaye mwaka Sasa,
Wajukuu wa bibi tulikusanyika kumsindikiza bibi..
RIP bibi,
Baba naye akaona akufuate,
Dah Anne nimeanza kuexperience haya mambo mwaka Jana,,ni mazito mno,nashindwa kuyabeba.View attachment 1983723View attachment 1983724
Kwamba tayari tumepewa vizimba vipya!
Basi na nyie wateja mtufate huko tulikohamishwa.Tunaendelea kuhamia maeneo rasmi
Nkamu kabla ya kupost majaji kama watatu wameipitia kuhakikisha sionekani![]()



Ukifanya hivyo kila siku, ukawaambia na wenzako wafanye hivyo, sisi hatutajenga mabanda kwenye mitaro mzee. Hamasisha majirani zakoHahahaha sawa sawa.. Leo nimetoka Kisarawe 2 mpaka mjimwema kufuata soko



Nipo kwa ofisi nitakucheki bdae mchumbaJack Palladino umeshajiandaa?

Karibu sana mkuu.Patamu sana , inaonekana ni sehemu nzuri kutembelea
OkeeNipo kwa ofisi nitakucheki bdae mchumbaView attachment 1984072
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app

Unamnywa wajina wako



, Kweli kazi na dawa.Nipo kwa ofisi nitakucheki bdae mchumbaView attachment 1984072
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app