Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Mimi nimetajiwa Hadi akina billgate na magari sijui ,mara sijui miaka 20,sijui probability , Kwa comment yangu ambayo nilikuquote na sijataja mtu

Watu wamejipachika kwenye comment yangu na kuanza kutiririka


Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa anapanic vibaya
Eh nimeshangaa sana
Povu kama lote , kikubwa upo humble sana , umejibu kiustarabu .
 
20211028_141216.jpg
 
Jamaa anapanic vibaya
Eh nimeshangaa sana
Povu kama lote , kikubwa upo humble sana , umejibu kiustarabu .
Yaani hadi nikahisi mtu kakosea kuniquote,maana tangu mmeanza mjadala wala sikuconcentrate kwenye comments zake,,nikawa najichatia na shoga yangu Karma maana hizi mada huwa tunajuana,,,duh nashangaa sijui kumiliki magari,sijui majumba,sijui kutemea mate watu yaani nimeamka asubuhi kufungua jf nikahisi nina wenge la usingizi.😂
😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom