Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
Nnavyopenda sifa sasa ☺☺Gorgeous skin texture
A. Urudi Mbeya?
Kwa upande wangu unastahiliNnavyopenda sifa sasa ☺☺
A. Urudi Mbeya?
B. Unyongwe?
Usinipe jibu najua utachagua B






Sikuulizi tena leo ni mara ya mwisho isije ikatokea kweli ukanyongwa bure 😁
Sikuulizi tena leo ni mara ya mwisho isije ikatokea kweli ukanyongwa bure![]()






Nimesema nimeacha, tusije kukupoteza bado tunakupenda 😄…
Una nini lakini na Mimi?
Hivi uliona ile picha niliyopost ya sanamu la posta?View attachment 1990047
Sent using Jamii Forums mobile app
Device toleo gani mkuu? Naona cam yake mzigo 4K kabisaNzi ni nyuki mjingaView attachment 1990048
Nimesema nimeacha, tusije kukupoteza bado tunakupenda…
Hapana sikuona ningeona ningecheka sana, tena usikute ulipanda kule juu upige umelishika







😄😄😄😄 aisee!
Ipo Post za juu huko za mwezi uliopita.
Nilitamani nipande juu ila niliogopa nisije kamatwa
Jmosi tutaenda wote,mimi napanda juu ya sanamu,wewe unaniphotoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina haja ya ngazi..nimetoka uyole miguu mikakamavuaisee!
Ngazi usisahau tu au ndio mwanamke wa shoka unaweza kupanda hivyo hivyo?

Wala sio mbali sana. Redmi Note 10 Pro Max nimetumia macro camera wala hiyo sio zoomDevice toleo gani mkuu? Naona cam yake mzigo 4K kabisa
🏃🏃🏃🏃🏃Sina haja ya ngazi..nimetoka uyole miguu mikakamavu
Hivi umekiona kisa changu cha kutaka kudondoka City Mall kwenye zile ngazi zinazotembea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawasikia tu hao jamaa sijawahi kuona hata bidhaa zao ila kumbe wapo vizuri sana huo mzigo sio poa 🖖Wala sio mbali sana. Redmi Note 10 Pro Max nimetumia macro camera wala hiyo sio zoom
Niache
Visa vyako vimenichosha sasa sio siri maana
Mara ulitaka kumezwa na Papa Kigamboni, mara ulikosea njia ukaingia Ukulu, mara Uliingia BOT ulidhani ni mgahawa, Mara ulienda kukata ticket ya kwenda Mbeya kwenye kituo cha Mwendo kasi, leo tena ulitaka kuangua
Am tired![]()















