Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hahaa ikr! Hivi mimi ndiyo nakuitaje sasa?![]()
![]()
Mhuuuu!!Hahaa ikr! Hivi mimi ndiyo nakuitaje sasa?![]()
Hehhee nani huyo niendelee kutaja taja mpaka akuje?Kuna kiongozi mmoja mkubwa ako na initials kama hizi. Si kidogo nidhani umemtaja yeye.
Haha kwenye ajira unalipwa mshahara boss. Haijalishi taasisi au kampuni itaingiza faida au hasara ila wewe mshahara wako unatakiwa kuwa pale pale.Let's end it here..
Ujue ndoa ni kama taasisi, unapokwenda kuomba kazi kwenye taasisi yeyote,kampuni yeyote lazima wa ku jaribu..
Same na ndoa , kusema anayejaribu ni mungu pekee, nah! Sikubaliani nalo, kwenye ajira tu tunajaribuwa itakuwa ndoa..
Anywaysio mbaya kujadili na kila mtu kutoa mawazo yake, tusifanye iwe very sensitive.. pia tusichukulie personal
Thanks Karma
Nashukuru wewe ni muelewa nami pia nakubali hoja zako. Kuna wanaume wengine huwa hawataki kukubali kuwa jinsia zote hazijakamilika wao husema kuwa mwanaume hakosei na mwanamke ndiyo chanzo cha matatizo yote duniani.
Nimezungumzia side yangu kama mwanaume ..
Mwanamke pia atazungumza kuhusu mwanaume kama jinsi anavyowaona.
Wakati mwingine inaweza kuwa sio sahihi kujizungumzia cause utajipa sifa na kuvutia kwako..
That's why nimeacha blank kwa wanaume na nyie wanawake mzungumze kuhusu mwanaume..
Nakubali sana hoja zako, and wote hatujakamilika..
![]()
Usishangae siyo za kuvuta ni za biashara kwenye kiosk changu.
Haha kumbe ulikuwa haujui! Nenda kule mmu kwenye mada za ndoa uone wanavyodanganyana ati ndoa ni heshima kwa mwanamke inamheshimisha mwanamke tu siyo mwanaume!Wanajiona nani Sijui!
As if ndoa wao haiwafaidishi.
Yaani Wanaume wanaonaga kama ndoa ni zawadi kwa mwanamke pekee.
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaSawa,waiteView attachment 1988544

Wanaume wengi wamekuwa wavivu na wanakwepa majukumu yao! Unajua mwanamke atakayedemand mahitaji yanayohitaji matumizi makubwa itambidi mwanaume atumie nguvu nyingi kutafuta ili atimize hayo mahitaji!Kwanza wamewapanga wasichana utadhani DJ anavyopanga ngoma za kupiga club(kwa sauti ya Chakorii )
Halafu bado hapohapo Eti wanatupima !
Wanachopima Sasa ndio kinachosha ziaidi..eti wanapima kuvumilia shida.
Yaani umasikini unafanya Watu waone kuvumilia shida ni sifa na ndio mapenzi.!
Wanawake wanaovumilia shida na kupimwa kama mchele mwee Wana kazi ngumu duniani!
Kazi ya kuutafuta ufalme wa Mbingunii,na kazi ya kuvumilia vipimo vya shida vya Watu..aloo
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah this is the one. Doh nilisahau kumbe ni cheetah.View attachment 1988667
You mean this? Hahaha mimi sipo hivyo bana sinaga tamaa za fisi.
Sio suala la kushushwa. Believe me wote tuna tamaa lakini kuna ile kuji control. Mimi nipo conscious nina self control pia so siendeshwi na tamaa hata kama ipo.Yeah this is the one. Doh nilisahau kumbe ni cheetah.
Haha safi sana kama kweli hauna tamaa za fisi. Utakuwa ulishushwa toka mbinguni chalii.
Mwe ni nini hizo dear Mbona zinanigomea kufungukaMhuuuu!!
Chagua mwenyewe admirer![]()
Ila kweli wanaume smart wengi ndiyo huwa na hulka hizi. Ukiona mwanaume anataka kufunua kila sketi jua kichwa chake cha juu kina hitilafu kubwa mno.Sio suala la kushushwa. Believe me wote tuna tamaa lakini kuna ile kuji control. Mimi nipo conscious nina self control pia so siendeshwi na tamaa hata kama ipo.
Wenye vitambi mnatufokea 😀