Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Wewe unayo ipi tukapigie picha kwa mfugale?Nawasikia tu hao jamaa sijawahi kuona hata bidhaa zao ila kumbe wapo vizuri sana huo mzigo sio poa![]()
Si unajua lile kabati langu siku hizi hata picha lineacha kutoa.
Sent using Jamii Forums mobile app

