Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa kweli Azimio na lidumu. It is well ankal

(Ujue jambo la huzuni lakini unanichekesha pia, bado unaongea mwenyewe?)
Yale machungu bado namuomba Mungu aniwezeshe kusamehe. Kila nikikumbuka, lazima niongee peke yangu.

Sijakuzaa tena Ankal, hata hivyo si tulifikia Azimio la Mji Kasoro Machinga kuzaana tumesitisha?

View attachment 1987957
 

Waliokunywa uji wa wagonjwa
.
Huyo dada nimemuelewa pia
 
Kusema ukweli mi mwenyewe I wouldn't appreciate ishu za kufanyiana maigizo.

I mean wote tukianza kufanyiana maigizo itakuwaje??? Mi nimpime yeye....na yeye anipime mimi alafu mwisho wa siku kila mmoja anakuwa ame-fall with a slightly false version of the other.😏😏
 
This is my song siku mbili tatu hizi njia nzima .. very courageous song
 
Mwisho wa siku ni dabiliudabiliuu doti mpimano doti komu
 
I see the old you


Bongo tunakaririshana kwamba kuvumilia maisha magumu ndio mapenzi.

Wanawake tutafika Mbingunii tumechoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vibaya hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…