[emoji3590] SOMA NENO LA MUNGU[emoji3590]
[emoji433] Mhubiri 2 : 24 -26
[emoji2771]24 Mwanadamu hapati jema kupita kula na kunywa, na kuiburudisha roho yake kwa mema katika kazi yake. Hayo nayo naliona ya kwamba hutoka mkononi mwa Mungu .
[emoji2771]26 Kwa sababu Mungu humpa yeye aliyemridhia hekima na maarifa na furaha ; bali mkosaji humpa taabu, ili kukusanya na kututa, apate kumpa huyo ambaye Mungu amridhia. Hayo nayo ni ubatili na kujilisha upepo.
[emoji3585] Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni,Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko.
[emoji3585] Mambo yote yamejaa uchovu usioneneka, jicho halishibi kuona, wala sikio halikinai kusikia.
[emoji3585] Kumbuka_*Tazama, mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo.*_
[emoji120][emoji3590] Mbingu Ipo[emoji3590][emoji120]