Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
MhhhNalia kwa kicheko. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 man utd mmezibwa vibaya.
Nileteeni Henyi Magwaya na mwenzake Rona.
Sasa Rona kwanini alimpiga mwenzake teke? Mwambieni mchezo hautaki hasira.
Wajukuu wa Sosha 🤣🤣 amkeniiiii


SOMA NENO LA MUNGU
Mhubiri 2 : 24 -26
24 Mwanadamu hapati jema kupita kula na kunywa, na kuiburudisha roho yake kwa mema katika kazi yake. Hayo nayo naliona ya kwamba hutoka mkononi mwa Mungu .
Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni,Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko.


