Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

SOMA NENO LA MUNGU

Mhubiri 2 : 24 -26

24 Mwanadamu hapati jema kupita kula na kunywa, na kuiburudisha roho yake kwa mema katika kazi yake. Hayo nayo naliona ya kwamba hutoka mkononi mwa Mungu .

26 Kwa sababu Mungu humpa yeye aliyemridhia hekima na maarifa na furaha ; bali mkosaji humpa taabu, ili kukusanya na kututa, apate kumpa huyo ambaye Mungu amridhia. Hayo nayo ni ubatili na kujilisha upepo.

Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni,Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko.

Mambo yote yamejaa uchovu usioneneka, jicho halishibi kuona, wala sikio halikinai kusikia.

Kumbuka_*Tazama, mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo.*_

Mbingu Ipo
 
20211019_125051.jpg
 
Back
Top Bottom