Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Punguza wasiwasi bana 🙂unaona sasa, shida yako niseme ndio ili uni trim..
kesi nyingine tena ya ambush hii, soon napewa ugaidi..😂
Cha msingi PGO ifuatwe 😆😆
Punguza wasiwasi bana 🙂unaona sasa, shida yako niseme ndio ili uni trim..
kesi nyingine tena ya ambush hii, soon napewa ugaidi..😂
unanionea huruma huku unanicheka 🙁 , huruma inakujaga na pole, samahani..Nakuonea huruma.....😂😂😂
Jamani..nilivyouliza harakaharaka kama bado umebanwa sio kujali????🙄🙄unanionea huruma huku unanicheka 🙁 , huruma inakujaga na pole, samahani..
fanya kinachostahili nijue kweli umenionea huruma
😂Punguza wasiwasi bana 🙂
Cha msingi PGO ifuatwe 😆😆
if you care, you have to protect me and make sure am happy, put s'one b4 yourself..Jamani..nilivyouliza harakaharaka kama bado umebanwa sio kujali????🙄🙄





Ohooo huu ni upendo mzito mno😊😊sato,Sangara na mbuzi☺️Jamani mbona siku zitakuwa chache..😌Asante binti yangu. Utanikuta Lamadi kesho. Utakuta sato na sangara wa kutosha pamoja na nyama ya mbuzi. Safiri salama![]()
Nimeachana na juice Nimezoom vidole🤪🤪
Hata Jack nadhani amezimiaKuna mtu amezimia Leo![]()





,Leo nakunywa bia tano,,ishara ya magoli tuliyowanyuka watu huko.You will never Walk alone kop....
Napenda kukutaarifu Sasa namalizia chupa yangu ya tatu ya whiskey.
Nimepiga hat trick km Egyptian King
Nalia kwa kicheko. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 man utd mmezibwa vibaya.
Wakatupiga na ngumi lakini wapiNalia kwa kicheko.man utd mmezibwa vibaya.
Nileteeni Henyi Magwaya na mwenzake Rona.
Sasa Rona kwanini alimpiga mwenzake teke? Mwambieni mchezo hautaki hasira.
Wajukuu wa Soshaamkeniiiii




Jamani, ikawaje sisi tukakosa misambwanda? Afu na hizo hela mbona sina sasa, au nizitarajie?![]()






