T 1990 ELY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 12,928
- 30,075
Gari ya kiume(mwanaume)
Haha...we jamaa bhana eti uliachaga usafiri wa baiskel tu.Asante sana, siku hizi kuna usafiri gani kwenda bariadi town, nikiachaga kuna baiskeli tu, halafu ile bank ya CRDB pale mjini kati ipo..
Nitakuja unitembeze mkuu![]()
🤔Gari ya kiume(mwanaume)View attachment 1985223
😂😂😂Haha...we jamaa bhana eti uliachaga usafiri wa baiskel tu.
Usafiri upo mwingi sana
Kuna Baiskel
Kuna pikipiki(bodaboda)
Kuna tax
Kuna bajaji
Kuna usafiri wa fisi
Bank ya CRDB bado ipo
Almost full visible! View attachment 1985260
Jidanganyeeeeee!Nakufahamu

Vijana wanaelekea kumaliza likizo,
Sawa boss.Vizuri sana kama ni njema Anne
Yesu nilishagampa maisha yangu toka siku nazaliwa mpaka sasa katika umri huu yeye pekee ananilinda na anajua hatima yangu
Hakika tumaini langu ni Yesu Pekee
Kuna Bajaji nyingi sana
Fisi tena mkuu..
Bariadi pazuri napakubali, walete sasa na Hiace route ya kwenda town, wafanya biashara hawaoni hio fursa?
Ya kulenga mashimo/matundu
Gari ya kiume tena mkuu?
Mbona unaipa jinsia ina nini![]()
😂😂😂😂 We kweli dereva kwa hio ukiona tundu au shimo barabarani wakati upo kwenye gari lazima ulilenge.. haya bwana angalia usije pata ajali😂😂, mashimo mengine sioYa kulenga mashimo/matundu
Haha bado upo vizuri bro,benchi halijakuathiri chochote kileSiunajuwa kitambo nasugua bench sasa nimerudi lazima nijaribu kama bado Panenka na Rabona zinapigika
Gashinaga ūtalī gayanda gadololo gīkī?Almost full visible! View attachment 1985260







Kama wana misambwanda ndevu siyo tatizo kivileHivi kwanini wanawake wengi wanyakyusa wana ndevu?




