Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Blue Monday
IMG20210323151241.jpg
 
Hahaha mkuu kwa hiyo mlijua mtashinda??

Tangu manara aondoke mna pata tabu saana
Binafsi najua kuwa mwaka huu tuna kikosi dhaifu kuweza kushindana, lakini wale Wabotswana sikutegema kama wangeweza kutufunga nyumbani tena kikatili vile.

Kulikuwa na haja gani kuwauza Chama na Miuquession kwa pamoja wakati hatujapata mbadala wao?

Simba ya Mwaka huu haitaweza Kushinda Kombe lolote kwa kuwa haina kikosi kizuri kama cha mwaka Jana
 
Binafsi najua kuwa mwaka huu tuna kikosi dhaifu kuweza kushindana, lakini wale Wabotswana sikutegema kama wangeweza kutufunga nyumbani tena kikatili vile.

Kulikuwa na haja gani kuwauza Chama na Miuquession kwa pamoja wakati hatujapata mbadala wao?

Simba ya Mwaka huu haitaweza Kushinda Kombe lolote kwa kuwa haina kikosi kizuri kama cha mwaka Jana
Chama na miquissone ungewabakiza kwa pesa ipi? Unalaumu bila kifuatilia na kujua mambo.
 
Mkuu mbona waliweza kukaa nasi zaidi ya Mwaka Mmoja kukipiga Simba? Si walikuwa wakilipwa mishahara
Waliweza kwa sababu walikuwa bado hawajapata nafasi za kucheza kwenye timu zenye pesa nyingi.

Mikataba yao ilitarajia kuisha mwaka mmoja au miwili ijayo, na walikohitajika walipewa pesa maradufu ya waliyokuwa wakilipwa simba SC, ulitaka simba iwazuie wasifanikiwe?

Msiendekeze lawama za ajabu kwa kujitoa akili, kuwwbakiza Simba ilitakiwa wangepewa pesa sawa na walizoahidiwa huko walikoenda.
 
SOMA NENO LA MUNGU

Mhubiri 2 : 24 -26

24 Mwanadamu hapati jema kupita kula na kunywa, na kuiburudisha roho yake kwa mema katika kazi yake. Hayo nayo naliona ya kwamba hutoka mkononi mwa Mungu .

26 Kwa sababu Mungu humpa yeye aliyemridhia hekima na maarifa na furaha ; bali mkosaji humpa taabu, ili kukusanya na kututa, apate kumpa huyo ambaye Mungu amridhia. Hayo nayo ni ubatili na kujilisha upepo.

Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni,Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko.

Mambo yote yamejaa uchovu usioneneka, jicho halishibi kuona, wala sikio halikinai kusikia.

Kumbuka_*Tazama, mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo.*_

Mbingu Ipo
Waganga wa kienyeji wakiokoka na kuachana na vilinge huwa washika dini wazuri sana
 
Back
Top Bottom