Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Uko sehemu gani?fanya tuonane kesho mapema kabla sijaenda LamadiWow!!Naweza kuonana na wewe?
Uko sehemu gani?fanya tuonane kesho mapema kabla sijaenda LamadiWow!!Naweza kuonana na wewe?
Hahaaa nkamu mi sina ndevu ila pia sina msambwanda. Hizo wanasema mwanamke akiwa nazo ni dalili ya kuwa na pesa.Nkamu una ndevu? Naona ninato tuwili ameizing hapa![]()

Hahaaa nkamu mi sina ndevu ila pia sina msambwanda. Hizo wanasema mwanamke akiwa nazo ni dalili ya kuwa na pesa.
😁😁😁Hujawahi kuona???
Watoto wa school bus tabu sana 🙄😏😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁😁😁
mie sina cha kusema, nikubishie nikose ubwabwa xmas, niko smart, najua unataka nikujibu,tubishane uni trim xmas nisije..
nishajua na play smart.. siku ile ulitaka unipe kesi eti nimesema sunset yako mbaya.. nikaipangua, najua kuna mengi yanakuja..😁😁
nimejiandaa, walisema mtaka cha uvunguni...................................
niko hapa nasikiliza acha nikae kimya ya Diamond
You will never Walk alone kop....Liverpool![]()
Cask inaungua ,natumaini hukuwepo huko na upo salama
😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hivi kumbe ehhhh?? Inawezekana kabisa I was tryanna play you bila hata kupanga...😆😆 I'm that bad!!
........shurti aendelee kukifuatilia! Nimepatia au nimekosea....? 😁🙈🙈
Ila usijali m'school bus! If you make it to Christmas dinner basi utayakuta mahindi ya rangi walau uyajue 🙂.....hata kama ukubwani.😏😏
Nshaachia mlango...acha kutoa macho kama bado nimekubana??
🙄🙄🙄🙄😁😁
Unaniruka tena kama hujui ulikuwa umepanga..
Ngoja tuone kama nitafika hio Xmas..
😁😁
😂😂😂Nshaachia mlango...acha kutoa macho kama bado nimekubana??
unaona sasa, shida yako niseme ndio ili uni trim..🙄🙄🙄🙄
Kwahiyo nitarajie ambush??😐😐
Nakuonea huruma.....😂😂😂😂😂😂
kwani yanakutisha?