Jimmie Gatsby
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 3,588
- 7,287
hahahaha ww insta babe wakishuaaaa sana hadi siku nikiwa naswimm ramada ndio ntakuitaMbona mimi huniiti
huku kwetu maporini hupawezi bhana



hahahaha ww insta babe wakishuaaaa sana hadi siku nikiwa naswimm ramada ndio ntakuitaMbona mimi huniiti



I always do that love. .you know me


I always do that love. .you know me
To be honest sijui... utajua mwenyewe...
Usipost mwaya eeeh kama babe hatakua comfortable. Sisi ni wapita njia tu humu, uki post au usipo post hamna kitakachobadilika.
Ila ukapost halafu babe wako akaku mind ni kitu ambacho utajutia kwa muda na sisi wala hatutajua wala hatutajali. Msikilize babe wako na anavyokupenda anakulinda na mafisi eti.
hapo kati hapo 🙈Wikiend imeanza.
Mpo viwanja gani nije eti.View attachment 1223576
Yes nakuunga mkono japo natamani kweli nikuoneKupokea kipigo kisichokuwa na sababu naogopa siweki tena![]()
Usijali best utaniona ishaalahYes nakuunga mkono japo natamani kweli nikuone
Kumbe kaka angu upo humu
Say hollaaaaaa!! Tehteh. ..NarudiDah! Kheri alone...
Wenu mnawabania ila wa wenzenu ndo mnataka muwachungulie sio?Mwamba umekaza hahahaha yani wew ni mim kabisa
PoaUsijali best utaniona ishaalah
Mie ngoja niandae popcorn kabisa vipi ziwe spicy au kawaida??
Yeah...Mbona mimi wa kwangu siyo uamuzi.. Unakuta napungua mpaka watu wanahisi labda ninaumwa, after few months zile nguo zinanibana naanza diet tena, mie nina mwili mbaya wa kuridhika haraka!!
Wenu mnawabania ila wa wenzenu ndo mnataka muwachungulie sio?
Usipost mwaya eeeh kama babe hatakua comfortable. Sisi ni wapita njia tu humu, uki post au usipo post hamna kitakachobadilika.
Ila ukapost halafu babe wako akaku mind ni kitu ambacho utajutia kwa muda na sisi wala hatutajua wala hatutajali. Msikilize babe wako na anavyokupenda anakulinda na mafisi eti.