mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
Hii imenifanya nimebanwa na mkojoWikiend imeanza.
Mpo viwanja gani nije eti.View attachment 1223576
Ngoja kwanza nikakojoe narudi
Hii imenifanya nimebanwa na mkojoWikiend imeanza.
Mpo viwanja gani nije eti.View attachment 1223576
@mahondaw...kubembeleza kote huku hujapata ruksa tu...khaaaI'm yours smart. ..allow me nothing will change sweetbebe jamani watu wanajirushaa namimi nimetamani jamani!
Ushaloga mtuNaomba tuendelee kwa amani Sasa
Nitaiweka uitakayo, relax
Wewe sio mzima akii...
Tatizo wewe uliweka ya miguu nakosa uhondooo
Mweeh
Mbona mimi wa kwangu siyo uamuzi.. Unakuta napungua mpaka watu wanahisi labda ninaumwa, after few months zile nguo zinanibana naanza diet tena, mie nina mwili mbaya wa kuridhika haraka!!Hahah...
Unajua nini SweetieLee, kuongezeka mwili ama kupungua si ulemavu ni uamuzi tu...
Mara ya mwisho watu niliokutana nao hapa JF wakikutana nami sasa watsema wamekutana na mtu mwingine...
This time around nimeamua niwe hivi, wakati ule niliamua kuwa nilivyokuwa...
Mchawi kwahiyo umeloga watu wote leo wikiendi wamepiga kambi hapa.Naomba tuendelee kwa amani Sasa
Hahaha....Sijui naonaje... ukiji selfie humu...
Kupokea kipigo kisichokuwa na sababu naogopa siweki tena 😜😜😜Hahaha kuliko upewe talaka na uanze kusumbua mtaani bora usiiweke maana wa kwangu huwa sishei,,,
Alone its ok nisijipost even with my twin bro love! !!! Na twin shem wako basi
Sijui naonaje... ukiji selfie humu...
yah mkuu kesho naweza kuwepo...maana ndio maeneo yangu hayoAisee mkuu very sorry.. Hali ya hewa ni changamoto.. Vp kesho si utakuwepo?
Ila ni vyema ukamsikiliza, ukivuta sana kamba hukatika.Hahahaha. ..@Smart911 kanidindia ati ole wanguuu! !
Fanya kile kitakachokufurahisha... follow you heart and carry your brain with you...