Huhitaji kusindikizwa?
Nimesubiri location bila mafanikio bossKaribu boss wangu.
Wow, Kumbe tunazeeka pamoja best🙈😜.Yeah nimewala hao viumbe nikiwa mdogo sana. Ngoja na huku uzeeni niwatafute niwatafune jamani
Usinambie hata kuku wa kuchoma hutumii, nije nikupime imani kwa kukuletea Kuku mzima wa kuchoma😋😜😜Dooh sijui kwanini mimi siyo Mpenzi wa vitu vya kuchoma
Kama tu unaweza kutembea haraka haraka 🙂😏Huhitaji kusindikizwa?
Yaani mwaliko unaanza na vikwazo tena jamani?Kama tu unaweza kutembea haraka haraka 🙂😏
Mchumba unanitisha
Mimi kazi ngumu zinazohitaji roho ngumu ndio zangu.
Ualimu nitaumiza watoto wa watu kwa kipigo.



Kuna watu wanataka niharibia sikukuu Yangu.Nimesubiri location bila mafanikio boss
Heri ya sikukuu![]()
Sitaki kukuacha nyuma ukadhani sikuwa na nia ya kukubali kusindikizwa sasa 🙂Yaani mwaliko unaanza na vikwazo tena jamani?
Siku ya kusnap chat na glass mkononi unipasie location- I will prefer this one badala ya kukimbizwa mchaka mchaka😅😅😅Sitaki kukuacha nyuma ukadhani sikuwa na nia ya kukubali kusindikizwa sasa 🙂
Hii ni nini mkuu?Mwisho wa yote ni uharibifuView attachment 1979486
Sio chai tu ni chai nzito.

Kabisa...Sure mkuu! Siku hizi binadamu wamekuwa wanyama kuliko hata wanyama wenyewe yaani siku hizi ni heri ukutane hata na simba kuliko binadamu mwenzio asiyekufahamu!
Hata mimi nilijifanya nina upendo sana nikaja kuambiwa hiyo statement nikajifanya siamini! Ila baada ya kujua kuwa siyo kila binadamu ana roho kama yako nikajifunza kitu na sina huruma na mtoto wa mtu yaani ukinifanyia ubaya nakufanyia ubaya zaidi ila ukinifanyia wema nakufanyia wema zaidi!
Mwananchi epuka utapeli, hii ndio wanasemaga chai chapati..😁