Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Unataka nifie segerea eeh??Woga wako ndio unakuharibia, kijana unatakiwa kufanya mambo ambayo siku ukiwa zako mzee ukikumbuka usipate jibu kwa nini ulifanya hivyo. Chances never come twice, we poteza note hata tano, vumilia msala utakaoupata siku mbili tatu ukidaiwa, huku ukisisitiza hujui zilipo na hauna kitu, then akichoka kudai unaanza kuzila
.
Usiseme sijakupa ushauri![]()
Mtu ameniamini nimtunzie maana yeye hawezi, halafu nipoteze




Hahaha!pesa za madafu mkuu,
Sijui kwanini huwa siwezi kuiba hela ya mtu


, huku ukisisitiza hujui zilipo na hauna kitu, then akichoka kudai unaanza kuzila




am waiting 

.