Naomba nifanyie mpango basi hiyo picha ije pm ikiwa na uso uliokamilika. Tangu mwaka juzi niliahidiwa kutumiwa picha full ila hadi leo hola mwee.dota!



Umejiandaa vyema kamanda ila hakikisha tu moyo wako una afya njema. Kama kuna katatizo hukajui usije ukashangaa watu wanaimba "parapanda italia parapanda...."Afe kipa afe bekiView attachment 1976762

Hii ahadi niliitoa mimi kweli dota?Naomba nifanyie mpango basi hiyo picha ije pm ikiwa na uso uliokamilika. Tangu mwaka juzi niliahidiwa kutumiwa picha full ila hadi leo hola mwee.![]()
![]()
D
D
Afe kipa afe bekiView attachment 1976762
Mwenzako sahivi tumbo limeshikana na kiuno 🤣🤣
Asee nenepa vyote lakini siyo tumboMwenzako sahivi tumbo limeshikana na kiuno![]()
,...kuna shoga angu yaani limemwagika kabisa


Ishakuwa tabu huku!!!View attachment 1976718



Naomba nifanyie mpango basi hiyo picha ije pm ikiwa na uso uliokamilika. Tangu mwaka juzi niliahidiwa kutumiwa picha full ila hadi leo hola mwee.![]()
![]()
Asante tena sis darling! Hivi siku ukituma ya kwako servers zitagoma kufanya kazi eti??Ahsante brod darling
Asante tena sis darling! Hivi siku ukituma ya kwako servers zitagoma kufanya kazi eti??
Aisee,! Kumbe watumiaji wa hii kitu wapo humu?Kidogo twende kwenye 4-DimensionView attachment 1976806
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Chief kwema?