Unaongea nini hichi? 🤣 uwaoni huko mabarabarani?
DuhUnaongea nini hichi?uwaoni huko mabarabarani?
Tumbo la chini linamwagika hadi kwenye naniliuuu.





Safi sana,...unaweza kutumia mkanda piaOops
Mie hizo gauni sijawahi kufanikiwa kuvaa
Kuna materials napendelea zinifichefiche kishkaji
noma Sana. Nitajitahidi.
Unaongea nini hichi?uwaoni huko mabarabarani?
Tumbo la chini linamwagika hadi kwenye naniliuuu.























kwenye naniliuHuu ni mchaichai?Kidogo twende kwenye 4-DimensionView attachment 1976806
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Safi sana,...unaweza kutumia mkanda pia


Aah wapihalijawa shapeless sana. Ingawa lina gram kama 900 hivi
![]()

Vizuri. Vodka unapiga dry?Ni nimehamia kwenye vodka na tequila
Ulaji pia nimebadili
Kuna mchanganyiko wangu nimetengeneza napiga asubuhi na tuzoezi kidogo basi mambo yanaenda
Hujaona chebe limestawii?
Hii unaipata? " shughulikaaaa, jifiche jifiche jifiche usinione... Shughulikaaaa macho mbele![]()





Oooh,

Duh
Tumbo nalo limekuwa kama maji linamwagika!!
Nyie mnanichekesha mjue
Sent using Jamii Forums mobile app
Google sativas / indica.