Asante sana, kwa sababu umezungumzia ulinzi mkali itakuwa kama ifuatavyo...
1-Nyumba yako tutaizungushia sensors zenye uwezo wa kugundua hata kipepeo akiwa half mile away, sensors zitakuwa na uwezo wa ku detect moshi just in case intruders wataamua kutumia njia hio kupuliza moshi au spray zenye madhara
2-tutaweka sensors na mifumo ya biometric recognition, akija mgeni software zitamgundua hata kwa kutembea tu ukiachilia mbali fingerprint na iris scanner..
3-mafuta, vipodozi, vyakula, malazi, maji, vinywaji itabidi kuchunguzwa na mtaalamu/mkemia kabla hujavitumia.., hata maji ya kuoga...
4-Tutafunga wireless detectors(wireless intrusion detection system), kuanzia simu unayotumia, computer na kila kitu, lazima taarifa zipite kwenye device maalumu ambayo ita decrypt taarifa zote kabla hazijaingia wala kutoka, kwa hio vyote unavyo chat lazima tujue unachat na nani na una browse nini..hio ni kuzuia udukuzi..
5-tutaweka fire proof, tutaweka pia smart home security systems kuhakikisha kila kitu una ki control kwa kutumia simu ya mkononi tu, kuanzia kufunga milango, madirisha, geti, kuwasha taa na kila kitu hata tv..
Kutakuwa na walinzi tofauti tofauti wenye kazi tofauti, achana na wale wenye silaha na miili mikubwa..
wapo njiani wanakuja..
NB gharama zote juu yangu..🙂, toa ua sasa