Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Sasa kama ulijua kwenye ujambazi kuna kutenguka viuno kwanini ulimpa uhuru wa kuchagua halafu uje umuadhibu kwa uchaguzi aliofanya! Hapa siyo suala la mtoto kumlaumu baba bali ni baba kumuadhibu mtoto kwa uhuru aliompa mwenyewe!Yaani mtoto achague ujambazi,atenguke kiuno kwa athari za ujambazi afu arudi kumlaumu baba badala ya kulaumu uchaguzi wake!
Inashangaza!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishasema wewe siyo dikteta na ukampa mtu uhuru wa kuchagua hiki au kile basi haupaswi kumuadhibu kwa uchaguzi atakaoufanya! Ukimuadhibu unarudi pale pale kwenye udikteta maana yake kumbe ulitaka achague hiki tu na siyo kile!

