Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mkuu haunipendi wewe!
Hivi Unaweza toka mwenge hadi Kimara kwa mguu???
Na zile barabara za pembeni zote zinajaa magari.

Dah wananihangaisha,hadi nisome mbele ..
Sasa unakuta nyingine imepitiliza, Halafu konda anataka asimame kwa mbele kuuliza kama naenda,na mimi ndio hadi nisome kabla sijapanda

Sent using Jamii Forums mobile app

Pole sana.
 
Imani plus

Juzi nilipanda boda toka fire hadi shekilango... wallah nilitaka kuzimia kwa presha.

Boda inapenya katikati ya magari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana kabisa na boda moro road bado tunakupenda usije kuondoka bila kutuachia copy.

Ila wanyaki mna visa?
FB_IMG_1634322890142.jpg
 
Back
Top Bottom