Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 6,156
- 7,807
Wewe ni mtundu hlf pia itakuwa unapenda kuisafiria- you are reminding me of someoneOngea.
Wewe ni mtundu hlf pia itakuwa unapenda kuisafiria- you are reminding me of someoneOngea.



Mithali 21:19Well said ,
Maana imeandikwa katika Wakolasai 3:18
Enyi wake, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana. Nanyi waume, wapendeni wake zenu, na msiwe wakali kwao.







Hehehee.Wewe ni mtundu hlf pia itakuwa unapenda kuisafiria- you are reminding me of someone
Yaani inaeleza mule mule .Mithali 21:19
Afadhali kuishi jangwani kuliko kuishi na mwanamke mgomvi na mkorofi.
Mithali 21:9
Ni heri kuishi pembeni mwa paa kuliko Kuishi na mwanamke mgomvi.View attachment 1974108
Ila Biblia inachekesha sometimes
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana haishauriwi kuamulia ugomvi wa hivyoUkiwaona leo baadae sasa watakapo kuwa wanacheka na kutembea pamoja utafikiri jana hawajatwangana, ndoa ikiwa na mwanamke mwenye makelele aisehh ni rahisi sana mwanaume kutandika
Ulikuwa Race sana! Ulikuwa Kipong pale.Baba Jkwanini hukunishika bega?


Kipong ndiyo wapi tena?Ulikuwa Race sana! Ulikuwa Kipong pale.![]()
Achana miaka bruh!Eti Saint Anne huyu Depal Kwa Ile picha aliyopost leo ndy wa kuwa na miaka 35 kweli?


Sasa kama umempa mwenyewe na umempa Uchaguzi kwanini umuadhibu kwa uchaguzi ambao ulimpa uhuru wa kufanyaKwa sababu nimempa zote,na nimeacha maagizo ya kufuata.
Ni juu yake sasa kuyafuata ama kutokuyafuata .
Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani paliitwa Rest in peace.Kipong ndiyo wapi tena?
Kama aliamua kwenda kinyume na maagizo lazima awe tayari pia kubeba matokeo.Sasa kama umempa mwenyewe na umempa Uchaguzi kwanini umuadhibu kwa uchaguzi ambao ulimpa uhuru wa kufanya
Nilikuwa kijana was miaka 30Wakati nyerere anazaliwa ulikuwa na miaka mingapi? Saint Anne
Yaani uende kugonga geti la mtu kuingilia kati ugomvi!Ungeingilia kati kidogo majirani gani nyie waoga hivyo mnataka mtu auliwe ndiyo mseme mtoe ushuhuda

Ni msemo wa mchungaji Mitimingi![]()
![]()
![]()
![]()
Mdogo wangu unaanz kjwa legendary
