Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,682
- 51,001
Ungeingilia kati kidogo majirani gani nyie waoga hivyo mnataka mtu auliwe ndiyo mseme mtoe ushuhudaMwili wenyewe wa kunipiga uko wapi
Atakayenipiga anatafuta kesi tu..mtu mwenyewe mdhaifu baadhi ya viungo halafu nipigwe tena!!
Last time nyumbani sijui nilipigwa lini,i guess nikiwa primary..tena na mama..baba yangu hakuwahi kunipiga hata siku moja.
Mimi ikitokea kesi huwa sikimbilii kubishana, nakimbilia kulia..nikilia tu huwezi endelea kunilaumu..utaanza nibembeleza huku ukisema"usirudie tena"


..hakuna mkate mgumu mbele ya chai .