Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa hayo ni mawazo yako mchumba,na wala si ya Mungu.
Kila alichokiumba na tazama aliona ya kwamba ni chema machoni pake.
If things fall apart, don't find someone to blame...you have to blame yourself.

Kutotii ndiyo kulikopelekea haya yote.

Yaani mchumba Mimi nikupe pombe hapo aina 5,,nikakuambia hii saint Anna usiinywe,wewe ukainywa ukalewa au ukazimia...
Badala ya kujilaumu wewe,unataka unilaumu Mimi!!!

Nikaenda mbali zaidi na kukupa option ya kutoa hayo madhara ya hiyo Saint Anna uliyoifukia kijeuri,,bado hutaki kufwata..unang'ang'ana kunilaumu kwa nini nilikupa!
Inaingia akilini kweli?
Kwanini usingetoa hiyo Saint Anna ukampea hizo nyingine nne Ambazo zinafaa kunywa
 
FB_IMG_1634194506655.jpg
 
Duh ndoa kumbe ni ngumu jamani!
Nimestushwa na kelele za vipigo,nyumba ya jirani wanatwangana hatari ..mwanamke anapigwa na bado anaongea huku analia,mara utaniuwa,mara nipige.
Ameachwa ndio anapaza sauti zaidi..sasa hivi nasikia "nipigee"
ana sauti Kali aisee
Oleweni muupate ufalme wa Mbinguni jamani
 
Me sipendi hii tabia. Nilipanga nyumba 1 hivi (boma la mmasai, dah huyo faza house alikuwa anambutua mke wake hadi sio poa.

Siku 1 nikawa na hela ya mchezo nikampiga bapa kubwa 1 tumechill dukani kwa braza ake tunapiga story. Nikampa za uso anayofanya sio poa , anawajengea nini watoto? Wako na 2 kids akanambia sikia mdogo wangu hakuna mwanaume mkorofi mbele ya mwanamke mpole. Mke wangu ana mdomo sanaaaa, na ana mdomo yule dada

Hivyo ukute huo mkong'oto ni matokeo ya mdomo wa mke.
Huyu mama kuna siku alipiga simu shuleni, School bus wanazopanda wanawe huwa zinajaa,halafu wanaambiwa wapakatane..
Aliwawashia moto,anasema sasa hela ya usafiri natoa ya nini,,,mtoto mdogo ampakate mwenzie hamuoni kama ni hatari.
Yule Mwalimu akamwambia tunalifanyia kazi hili suala,,
Huyu mama anasema mnapoendelea kulifanyia kazi, naomba watoto wangu wasinyanyuliwe wala kupakatana na wengine
Mama anapanga hoja kama mbunge.

Nikasema kwa style hii, mwanaume hawezi kubishana naye na akashinda.

Wamedundana wenyewe .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mama kuna siku alipiga simu shuleni, School bus wanazopanda wanawe huwa zinajaa,halafu wanaambiwa wapakatane..
Aliwawashia moto,anasema sasa hela ya usafiri natoa ya nini,,,mtoto mdogo ampakate mwenzie hamuoni kama ni hatari.
Yule Mwalimu akamwambia tunalifanyia kazi hili suala,,
Huyu mama anasema mnapoendelea kulifanyia kazi, naomba watoto wangu wasinyanyuliwe wala kupakatana na wengine
Mama anapanga hoja kama mbunge.

Nikasema kwa style hii, mwanaume hawezi kubishana naye na akashinda.

Wamedundana wenyewe .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom