Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Shalom Tanzania












Ndoa ngumuDuh ndoa kumbe ni ngumu jamani!
Nimestushwa na kelele za vipigo,nyumba ya jirani wanatwangana hatari ..mwanamke anapigwa na bado anaongea huku analia,mara utaniuwa,mara nipige.
Ameachwa ndio anapaza sauti zaidi..sasa hivi nasikia "nipigee"
ana sauti Kali aisee![]()
Duh ndoa kumbe ni ngumu jamani!
Nimestushwa na kelele za vipigo,nyumba ya jirani wanatwangana hatari ..mwanamke anapigwa na bado anaongea huku analia,mara utaniuwa,mara nipige.
Ameachwa ndio anapaza sauti zaidi..sasa hivi nasikia "nipigee"
ana sauti Kali aisee![]()




Naona wamemaliza kugombana maana sisikii tena keleleNdoa ngumu
Aisee pole kwa huyo dada .
.Mambo ni magumu



Muoga sana wewe....Mambo ni magumu
Nikiona hayo napata nguvu ya kutotamani ndoa..
Mimi bora mtu anifanyie lolote ila sio kunipiga aiseee!



Utashangaa bdae anampa penzi kama kawaida....wengine vipigo ni sehemu ya mapenziNaona wamemaliza kugombana maana sisikii tena kelele.
Walianza kujadili,nasikia mwanaume anasema enhee sema,,dada anaongea kwa hasira malalamiko yake huku analia .
Ila sema dada huwa anaongea sana aisee..tunashare ukuta wa fensi kwahiyo huwa namsikia,,dada mjuaji mno. Japo mimi sijui sababu ya wao kutwangana.

Mwili wenyewe wa kunipiga uko wapiMuoga sana wewe....![]()

Naona wamemaliza kugombana maana sisikii tena kelele.
Walianza kujadili,nasikia mwanaume anasema enhee sema,,dada anaongea kwa hasira malalamiko yake huku analia .
Ila sema dada huwa anaongea sana aisee..tunashare ukuta wa fensi kwahiyo huwa namsikia,,dada mjuaji mno. Japo mimi sijui sababu ya wao kutwangana.
UmemisiwaAisee
Siyo kwa vipigo vileUtashangaa bdae anampa penzi kama kawaida....wengine vipigo ni sehemu ya mapenzi![]()

..hakuna mkate mgumu mbele ya chai .Siyo kwa vipigo vile
Hadi nyumba jirani navisikia.
Sema atakuwa ameshambembeleza,wameingia ndani kufanya yao..hakuna mkate mgumu mbele ya chai .
Ila ningekuwa mimi huyo mwanaume naye cha moto angekiona..ningejilegeza wiki nzima hadi aombee poo.




Yaani lazima mtu hapo usitamani siku moja nilipopanga mdada huyo kapigwa na mchumba balaa toka saa moja asubuhi ni kichapo tu .Mambo ni magumu
Nikiona hayo napata nguvu ya kutotamani ndoa..
Mimi bora mtu anifanyie lolote ila sio kunipiga aiseee!
Tatizo wanawake huwa tunaongea mno.Inasikitisha sana na ni bora kama hawapigi kelele tena ,kupigwa ni vibaya dah sijui tufanyaje ,Mungu atufundishe kunyamaza .
Tatizo wanawake huwa tunaongea mno.
Mimi kila nikipita namsikia yupo kuwahadithia mashoga zake kwenye simu mambo ya mume wake..sasa huo ni ujinga.
Masuala yao ya ndani anayatafutia wapambe,si ajabu wanamfundisha mbinu za kivita ambazo zimemcost mwenzao leo kadundwa.
Na majirani tulivyo na roho ngumu tunasikiliza movie kwa mbali,kila mtu yupo kwake,hakuna wa kwenda kushadadia.
Hata ndani ya fensi moja sitoki aisee,,nawaacha wauane.Hiyo ndo shida mtu si vizuri ueleze mambo yako kwa mashosti ,Ukiwa na marafiki wanaweza kukupa ushauri mbovu sana .
Unawezaje kwenda kuamulia ugomvi usiokuhusu labda kama mngekuwa mnaishi ndani ya fence moja .
Hahaha labda utafute mtu aje kuwasuluhisha .Hata ndani ya fensi moja sitoki aisee,,nawaacha wauane.
Ukisikia na hizo kelele za vinono utuambieWameenda peana vinono,
Na hiki kibaridi![]()


