Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani acha tu mdada wa watu amefunga chuo baada ya mwenda kwao kaja kuishi kwa mchumba wake .

Nilimuonea huruma aisee
Mapenzi ni upofu .
Duh!
Badala ya kurudi kwao anaenda kukaa kwa mtu!
Kweli kila mtu ana taratibu Zake.

Wengine achilia mbali kulala nje,ikifika saa 2 usiku sipo nyumbani ni msala.
Hadi naanza kujitegemea lakini bado nipo chini ya ulinzi mkali,,saa 2 haupo nyumbani ni kesi..na imagine siku nalala nje kabisa

Yeye alihamia kabisa!
Huo ni ujasiri.



Mapenzi ya kupigana ni upumbavu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Truly sensational..
IMG-20211014-WA0036.jpg
 
Duh ndoa kumbe ni ngumu jamani!
Nimestushwa na kelele za vipigo,nyumba ya jirani wanatwangana hatari ..mwanamke anapigwa na bado anaongea huku analia,mara utaniuwa,mara nipige.
Ameachwa ndio anapaza sauti zaidi..sasa hivi nasikia "nipigee"
ana sauti Kali aisee
emoji119.png
Me sipendi hii tabia. Nilipanga nyumba 1 hivi (boma la mmasai, dah huyo faza house alikuwa anambutua mke wake hadi sio poa.

Siku 1 nikawa na hela ya mchezo 😂 nikampiga bapa kubwa 1 tumechill dukani kwa braza ake tunapiga story. Nikampa za uso anayofanya sio poa , anawajengea nini watoto? Wako na 2 kids akanambia sikia mdogo wangu hakuna mwanaume mkorofi mbele ya mwanamke mpole. Mke wangu ana mdomo sanaaaa, na ana mdomo yule dada 😂

Hivyo ukute huo mkong'oto ni matokeo ya mdomo wa mke.
 
Back
Top Bottom