Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sisi ni viumbe dhaifu na alijua kabisa kwamba hatotii angezuia tu

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Sasa hayo ni mawazo yako mchumba,na wala si ya Mungu.
Kila alichokiumba na tazama aliona ya kwamba ni chema machoni pake.
If things fall apart, don't find someone to blame...you have to blame yourself.

Kutotii ndiyo kulikopelekea haya yote.

Yaani mchumba Mimi nikupe pombe hapo aina 5,,nikakuambia hii saint Anna usiinywe,wewe ukainywa ukalewa au ukazimia...
Badala ya kujilaumu wewe,unataka unilaumu Mimi!!!

Nikaenda mbali zaidi na kukupa option ya kutoa hayo madhara ya hiyo Saint Anna uliyoifukia kijeuri,,bado hutaki kufwata..unang'ang'ana kunilaumu kwa nini nilikupa!
Inaingia akilini kweli?
 
Kila alichokiumba na tazana aliona ya kwamba ni chema machoni pake.
If things fall apart, don't find someone to blame...you have to blame yourself.

Kutotii ndiyo kulikopelekea haya yote.

Yaani mchumba Mimi nikupe pombe hapo aina 5,,nikakuambia hii saint Anna usiinywe,wewe ukainywa ukalewa au ukazimia...
Badala ya kujilaumu wewe,unataka unilaumu Mimi!!!

Nikaenda mbali zaidi na kukupa option ya kutoa hayo madhara ya hiyo Saint Anna uliyoifukia kijeuri,,bado hutaki kufwata..unang'ang'ana kunilaumu kwa nini nilikupa!
Inaingia akilini kweli?
Mfano wako Not valid...yule ni Mungu anajua kila kitu hata ambacho bado akijatoa...my concern is...why atupe majaribu na anajua fika huyi atashindwa majaribu

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Hivi hizi international day huwa wanazingatia nini hasa, leo ilikua ni siku ya kutovaa bra kwa wanawake, je wa humu mmevaa
Screenshot_20211013_201351.jpg
 
Mfano wako Not valid...yule ni Mungu anajua kila kitu hata ambacho bado akijatoa...my concern is...why atupe majaribu na anajua fika huyi atashindwa majaribu

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Wewe kushindwa ni ujeuri ambao umeuchagua mwenyewe,
Na hayo yalikuwa maagizo na si majaribu.
Alikupa uhuru uchague .
 
Back
Top Bottom