Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,224
We me pale mboko nimekula sana, kutandikwa ilikuwa kawaida tu. Sijui ka mtihani gani mmepata chini ya 60 mboko, afandez wanaalikana 😂 Afande kapita dirishani kasikia minong'ono ni darasa zima mnalambwa.
Ni wapi hapo kwanza?
Unasema 3 tu!
Mimi nilikuwa siwezi vumilia fimbo zaidi ya moja.
Ni haya mashule ya hawa wakuda waliojitoa kwenye kundi la uraia.
Nimepamiss ila 😆


Afande kapita dirishani kasikia minong'ono ni darasa zima mnalambwa. 