Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it


Ni wapi hapo kwanza?

Unasema 3 tu!
Mimi nilikuwa siwezi vumilia fimbo zaidi ya moja.
We me pale mboko nimekula sana, kutandikwa ilikuwa kawaida tu. Sijui ka mtihani gani mmepata chini ya 60 mboko, afandez wanaalikana 😂 Afande kapita dirishani kasikia minong'ono ni darasa zima mnalambwa.

Ni haya mashule ya hawa wakuda waliojitoa kwenye kundi la uraia.

Nimepamiss ila 😆
 
😂😂😂
Kuna nyingine niliona watu wenye dimples ni waongo waongo tu.
View attachment 1973507
Kipindi nipo shule washkaji wamenitania sn kuhusu hivyo vidude Hadi nikavichukia
Utasikia "mwanangu Una Sura km ya mamaako" ..Walikuwa wananikata sn stimu.Sasa nimekuwa mashavu yote Yana midevu🤣🤣
 
We me pale mboko nimekula sana, kutandikwa ilikuwa kawaida tu. Sijui ka mtihani gani mmepata chini ya 60 mboko, afandez wanaalikana Afande kapita dirishani kasikia minong'ono ni darasa zima mnalambwa.

Ni haya mashule ya hawa wakuda waliojitoa kwenye kundi la uraia.

Nimepamiss ila
Ah
Wale wanaotuita sisi raia,utadhani wao ni wakimbizi


Mwee pole.
 
Nilishangaa wamejitoa kwenye uraia..
Basi mimi nikawaweka kwenye wakimbizimaana wanasema wao siyo raia was kawaida.


Shule za kijeshi nadhani nisingeweza kusurvive .
😂😂 watulie maana hata ku roll kwenye tope tukiamua tunaweza. Peki za mchanga tukimua ile ile ... Sisi sote ni raia wa Tz.

Ungeweza vizuri, ungezoea.
 
FB_IMG_1634176731192.jpg
 
Duh ndoa kumbe ni ngumu jamani!
Nimestushwa na kelele za vipigo,nyumba ya jirani wanatwangana hatari ..mwanamke anapigwa na bado anaongea huku analia,mara utaniuwa,mara nipige.
Ameachwa ndio anapaza sauti zaidi..sasa hivi nasikia "nipigee"
ana sauti Kali aisee
 
Back
Top Bottom