mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,944
- 43,358
Usiniambie.....Karibu mbaliziNzuri hii

Ni nzuri ,inapendeza na inavutia hata kwa sisi wazeeUsiniambie.....Karibu mbalizi![]()
kifua ndio balaa maana yaonekana kimepangwa kikapangika haswaaaa.Asee,sifa zote ni za warda mieNi nzuri ,inapendeza na inavutia hata kwa sisi wazeekifua ndio balaa maana yaonekana kimepangwa kikapangika haswaaaa.
Ukijumlisha na huo mtandio ni waaaaooooouuuuuuu mawardat!........beautiful! amazing! marvelous! so cute!!
.......Zooote zako wewe warda hizo sifa zipokeee Binti mremboAsee,sifa zote ni za warda mie.......
Zooote zako wewe warda hizo sifa zipokeee Binti mrembo
sawa,sawa
......unatoa sifa ukiwa wapi?Nipo Tanga kwa sasa, naandaa safari ya Songeasawa,sawa
......unatoa sifa ukiwa wapi?
Nipo Tanga kwa sasa, naandaa safari ya Songea
,ooooooh jamani,karibu kwetu.Hahahaha.......ingekuwa ni Kanisani tungetoa shukrani ya Pekee kwa mema tuliyofanyiwa 😀 ila all in all akina Mood wametusaidia sana kutimiza ndoto zetu wengi kwa gharama nafuu
Asanteee warda Binti mrembo, toto la .....................(kingoni?, kinyasa?, kimatengo?),ooooooh jamani,karibu kwetu.
Asanteee warda Binti mrembo, toto la .....................(kingoni?, kinyasa?, kimatengo?)
mie huko pwani pwani
Ooooh....yeeeessss miss. Wardamie huko pwani pwani
![]()
God is good manHayo maisha tumeyaendeleza hadi kwenye assignments za Chuo
Acha tupambane tu saivi kutafuta hela tu![]()


Wameiboresha juzi juzi tu kwwli ilikua hovyo sana, sahivi ipo na kasi ya light sio mbayaAlafu kuna watu wanalalamika Airtel haina speed kabisaView attachment 1972197
Location pia matters alot hawa kuna sehemu mtandao wao upo chiniAlafu kuna watu wanalalamika Airtel haina speed kabisaView attachment 1972197
Ooooh....yeeeessss miss. Warda


Umesahau 2025 ndo anafikisha umri wa kupiga kura
Hivi mwqka huu ndio unafikisha 20?
Hapana hilo ni jina nalitumia kwakuwa miaka hiyo nilisoma huko, kuwa mwenyeji wangu itakuwa ni baraka sana haijalishi nipo wapi, naamini ni hivo pia kwangu mimi nikija maeneo yako ya kujidai sivyo?
Najuaga upo mbalizi,,,,siku nikija mbalizi uwe mwenyeji wangu![]()
So,kuna dogo langu,yupo mbalizi shule.Hapana hilo ni jina nalitumia kwakuwa miaka hiyo nilisoma huko, kuwa mwenyeji wangu itakuwa ni baraka sana haijalishi nipo wapi, naamini ni hivo pia kwangu mimi nikija maeneo yako ya kujidai sivyo?
Kabisa mkuu walitusaidia sana. Walifanya shule iwe rahisi sanaHahahaha.......ingekuwa ni Kanisani tungetoa shukrani ya Pekee kwa mema tuliyofanyiwaila all in all akina Mood wametusaidia sana kutimiza ndoto zetu wengi kwa gharama nafuu
