mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 22,546
- 45,086
Nzuri hii
Nzuri hii
Usiniambie.....Karibu mbalizi[emoji41]Nzuri hii
Ni nzuri ,inapendeza na inavutia hata kwa sisi wazee[emoji2] kifua ndio balaa maana yaonekana kimepangwa kikapangika haswaaaa.Usiniambie.....Karibu mbalizi[emoji41]
Asee,sifa zote ni za warda mie[emoji41].......Ni nzuri ,inapendeza na inavutia hata kwa sisi wazee[emoji2] kifua ndio balaa maana yaonekana kimepangwa kikapangika haswaaaa.
Ukijumlisha na huo mtandio ni waaaaooooouuuuuuu mawardat!........beautiful! amazing! marvelous! so cute!!
Zooote zako wewe warda hizo sifa zipokeee Binti mremboAsee,sifa zote ni za warda mie[emoji41].......
[emoji851]sawa,sawa[emoji120]......unatoa sifa ukiwa wapi?Zooote zako wewe warda hizo sifa zipokeee Binti mrembo
Nipo Tanga kwa sasa, naandaa safari ya Songea[emoji851]sawa,sawa[emoji120]......unatoa sifa ukiwa wapi?
[emoji16],ooooooh jamani,karibu kwetu.Nipo Tanga kwa sasa, naandaa safari ya Songea
Hahahaha.......ingekuwa ni Kanisani tungetoa shukrani ya Pekee kwa mema tuliyofanyiwa 😀 ila all in all akina Mood wametusaidia sana kutimiza ndoto zetu wengi kwa gharama nafuu
Asanteee warda Binti mrembo, toto la .....................(kingoni?, kinyasa?, kimatengo?)[emoji16],ooooooh jamani,karibu kwetu.
[emoji16]mie huko pwani pwani[emoji2902]Asanteee warda Binti mrembo, toto la .....................(kingoni?, kinyasa?, kimatengo?)
Ooooh....yeeeessss miss. Warda[emoji16]mie huko pwani pwani[emoji2902]
God is good man [emoji1787][emoji1787]Hayo maisha tumeyaendeleza hadi kwenye assignments za Chuo [emoji2][emoji2]
Acha tupambane tu saivi kutafuta hela tu[emoji1729][emoji1729]
Wameiboresha juzi juzi tu kwwli ilikua hovyo sana, sahivi ipo na kasi ya light sio mbayaAlafu kuna watu wanalalamika Airtel haina speed kabisa [emoji849]View attachment 1972197
Location pia matters alot hawa kuna sehemu mtandao wao upo chiniAlafu kuna watu wanalalamika Airtel haina speed kabisa [emoji849]View attachment 1972197
[emoji120]Ooooh....yeeeessss miss. Warda
Umesahau 2025 ndo anafikisha umri wa kupiga kura[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi mwqka huu ndio unafikisha 20?
Hapana hilo ni jina nalitumia kwakuwa miaka hiyo nilisoma huko, kuwa mwenyeji wangu itakuwa ni baraka sana haijalishi nipo wapi, naamini ni hivo pia kwangu mimi nikija maeneo yako ya kujidai sivyo?[emoji120]
Najuaga upo mbalizi,,,,siku nikija mbalizi uwe mwenyeji wangu[emoji3]
So,kuna dogo langu,yupo mbalizi shule.Hapana hilo ni jina nalitumia kwakuwa miaka hiyo nilisoma huko, kuwa mwenyeji wangu itakuwa ni baraka sana haijalishi nipo wapi, naamini ni hivo pia kwangu mimi nikija maeneo yako ya kujidai sivyo?
Kabisa mkuu walitusaidia sana. Walifanya shule iwe rahisi sana[emoji28]Hahahaha.......ingekuwa ni Kanisani tungetoa shukrani ya Pekee kwa mema tuliyofanyiwa [emoji3] ila all in all akina Mood wametusaidia sana kutimiza ndoto zetu wengi kwa gharama nafuu