Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Usiniambie.....Karibu mbalizi[emoji41]
Ni nzuri ,inapendeza na inavutia hata kwa sisi wazee[emoji2] kifua ndio balaa maana yaonekana kimepangwa kikapangika haswaaaa.

Ukijumlisha na huo mtandio ni waaaaooooouuuuuuu mawardat!........beautiful! amazing! marvelous! so cute!!
 
Ni nzuri ,inapendeza na inavutia hata kwa sisi wazee[emoji2] kifua ndio balaa maana yaonekana kimepangwa kikapangika haswaaaa.

Ukijumlisha na huo mtandio ni waaaaooooouuuuuuu mawardat!........beautiful! amazing! marvelous! so cute!!
Asee,sifa zote ni za warda mie[emoji41].......
 
[emoji120]

Najuaga upo mbalizi,,,,siku nikija mbalizi uwe mwenyeji wangu[emoji3]
Hapana hilo ni jina nalitumia kwakuwa miaka hiyo nilisoma huko, kuwa mwenyeji wangu itakuwa ni baraka sana haijalishi nipo wapi, naamini ni hivo pia kwangu mimi nikija maeneo yako ya kujidai sivyo?
 
Hahahaha.......ingekuwa ni Kanisani tungetoa shukrani ya Pekee kwa mema tuliyofanyiwa [emoji3] ila all in all akina Mood wametusaidia sana kutimiza ndoto zetu wengi kwa gharama nafuu
Kabisa mkuu walitusaidia sana. Walifanya shule iwe rahisi sana[emoji28]

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom