Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Kiba yupi tename naona anaelekeana sura na Peter wa Royal Village Dom
hakiii vile.

Kiba yupi tename naona anaelekeana sura na Peter wa Royal Village Dom
hakiii vile.

Unaishi tena ni raha sanaDuh
Nawaza kariakoo watu wanaishije na zile kelele.
Kwa zile kelele za KARIAKOOUnaishi tena ni raha sana
Nakumbuka nilikaa hostel maeneo hayo .
Ikifika saa usiku mnatoka kununua chakula pametulia .

Aisee mmenikumbusha mbali sana!Kweli umri unasonga, ni zaidi ya miaka 18plus saivi imepita.
Sina uhakika kama yale mapindi bado yanaendelea though kuna uwezekano saivi wamekuja damu mpya kuendeleza walipoishia akina Mood


Ukishazoea unaona kawaidaKwa zile kelele za KARIAKOO
Mimi nadhani siwezi kuweka makazi pale.
Mwanza hii.

Dah yaani hata mchana tu nikipita naona Kuna kelele.Ukishazoea unaona kawaida
Hata hivyo usiku panatulia
ukiwa mtu unayetoka asubuhi na kurudi jioni basi haisumbui
Wacha nishushe mtandio
