Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

20210920_132200.jpg
 
Inategemea ulikuwa unataka kupiga picha ya mandhari nje ya dirisha la gari au reflection ya image yako kwenye side mirror.
Kama una focus ku snap mandhari ya nje kupitia dirisha kuna uwezekano mtu akajisahau kwamba kuna image yake kwenye kioo, so tusiseme wote watafanya hivyo
Mtoto wako ni handsome boy. hongera sana. bila shaka baba yake ni hb wa ukweli
Yeahh...I suppose you are right! And thanks ☺☺ Ntamfikishia sifa zake dogo.

Kuhusu mshkaji....wa kawaida tu 😁😁😁🙈🙈
 
Kuna faida kubwa kwa mtoto kuzaliwa na kulelewa na wazazi vijana...
Umri ukienda kuna baadhi ya starehe zinatoka mwilini, mfano wazee wengi in 55-65 unakuta hata simu wanazotumia watakuambia ilimradi mawasilano, japo uwezo wa kununua simu za kisasa wanao...

Kama kijana tunaelewa mtoto anapaswa kupendeza, kuna trend ya fashion flani, tunaelewa mtoto anapenda michezo, mfano toys,video games(playstation, Xbox etc)
Hongera sana hio hair cut nimeikubali sana, sisi tulikuwa tukienda saloon sheria ni moja tu, ni kipara kama wale Shaolin Monk wa China.

Nikijaaliwa kupata mtoto kama baba, nataka ale raha zote kwa kadri uwezo wangu utakapofikia, akikua hata kama sipo, asimulie na kujivunia na anikumbuke maisha yake yote pia aendeleze nilichomfunza utotoni...
I will teach him the right way to live life when he is young, so that when he is older, he will know the right way to live and conduct himself, as he was taught consistently throughout childhood...

Dogo kapendeza sana,
Teach him everything he will need to live a full life...,
Alafu generation yenu na nyingine zilizopita ndo wamekuwa walimu basi tabu tupu!!!😬😬😬 Utadhani nywele ndo hu-determine maendeleo ya mtoto shule 😏😏

Tukirudi kwako...I LIKE YOUR PERSPECTIVE. 👊🏾👊🏾👊🏾

Kuna vitu vingine hata sio gharama kufanya/kumfanyia mtoto...ila ile mentality ya "mi sikuwa nacho, mtoto cha nini" ndo inayotuharibu wengi. Tunaishia kuwa wabinafsi bila sababu za msingi. So yeahhh....as long as kitu ni kizuri kwa mtoto (hakimdhuru kwa namna yoyote ile) na uwezo wa kumpatia ufanye hivyo muda.

Kama waswahili wanavyosema...."Atakushukuru baadae!"
 
Back
Top Bottom