@Mshana Jr Hepu appload ka video inavyokula kwa vijiti
Amekula ban, so namuwakilisha,Yeye mwenyewe anajua???
Yeahh...I suppose you are right! And thanks ☺☺ Ntamfikishia sifa zake dogo.Inategemea ulikuwa unataka kupiga picha ya mandhari nje ya dirisha la gari au reflection ya image yako kwenye side mirror.
Kama una focus ku snap mandhari ya nje kupitia dirisha kuna uwezekano mtu akajisahau kwamba kuna image yake kwenye kioo, so tusiseme wote watafanya hivyo
Mtoto wako ni handsome boy. hongera sana. bila shaka baba yake ni hb wa ukweli
Hahaaaaaa Umenikumbusha msemo wa Anne Kansiime "we have been preserved for tomorrow use".Tukifika Dar lile joto wiki moja tu tunanenepa na kutakata
Nyanda za juu baridi utadhani tunagandishwa kama barafu.
AsanteeKaribu
Hakuna uhalisia mkuuHaya ndio maneno sasa,shusha vitu mkuu
Alafu generation yenu na nyingine zilizopita ndo wamekuwa walimu basi tabu tupu!!!😬😬😬 Utadhani nywele ndo hu-determine maendeleo ya mtoto shule 😏😏Kuna faida kubwa kwa mtoto kuzaliwa na kulelewa na wazazi vijana...
Umri ukienda kuna baadhi ya starehe zinatoka mwilini, mfano wazee wengi in 55-65 unakuta hata simu wanazotumia watakuambia ilimradi mawasilano, japo uwezo wa kununua simu za kisasa wanao...
Kama kijana tunaelewa mtoto anapaswa kupendeza, kuna trend ya fashion flani, tunaelewa mtoto anapenda michezo, mfano toys,video games(playstation, Xbox etc)
Hongera sana hio hair cut nimeikubali sana, sisi tulikuwa tukienda saloon sheria ni moja tu, ni kipara kama wale Shaolin Monk wa China.
Nikijaaliwa kupata mtoto kama baba, nataka ale raha zote kwa kadri uwezo wangu utakapofikia, akikua hata kama sipo, asimulie na kujivunia na anikumbuke maisha yake yote pia aendeleze nilichomfunza utotoni...
I will teach him the right way to live life when he is young, so that when he is older, he will know the right way to live and conduct himself, as he was taught consistently throughout childhood...
Dogo kapendeza sana,
Teach him everything he will need to live a full life...,
Sijui kwanin nimemkumbuka mshubate hahahaNitakuja PM kuomba picha full nione mishono.
Magauni yako![]()
Sijui kwanin nimemkumbuka mshubate hahaha





Sijaona picha zenu siku nyingi leo nimepita huku kusafishaa machoo...kabla sijarudi kuungana na vijana wa hovyoo hahaha
Hujamsahau tu?
Jamaa alituchota Sana.
Nina utitiri wa picha huko juuSijaona picha zenu siku nyingi leo nimepita huku kusafishaa machoo...kabla sijarudi kuungana na vijana wa hovyoo hahaha
Kazi nzurii.....sasa naomba tubariki na miguu yako mizurii
Weee ngoja niskiroli upNina utitiri wa picha huko juu
Kalumbuww na hawa mademu zako wote mna tatizo
mget weel soon
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app



Ukiona simdai mtu ujue kuna mawili;
Aidha alishaweka picha au imeshindikana yeye kuweka picha mfano Heaven Sent
Na wewe hujaweka picha muda mrefu.Weee ngoja niskiroli up

Oooh ikiwa Valentina anaona kama namdanganyaMajungu si mtaji useme ufanye utajirike,
Majungu si biashara useme uuze inunuliwe.....
Inalijua hilo lidong mdogo angu?![]()















