Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,997
- 137,035
Unajua unanichekeshaga yaaniHuu uzi huu dah! Halafu ndo nimetoka kwenye ibada. Kazi ipo wallahi![]()
vile unamaanisha babu
Hatupo kwenye mapambanoSijaona mwanamke humu wa kugusa hii level manzi yangu yupo, sura, rangi na umbo.
Kama yupo aanzishe mpambano.
View attachment 1945006
Owkey mwambie akwende kwa Karma amuazime guu la bia.Sijaona mwanamke humu wa kugusa hii level manzi yangu yupo, sura, rangi na umbo.
Kama yupo aanzishe mpambano.
View attachment 1945006
Ndio tunapambana na huyo mwenye mwili wenye mabonde?Owkey mwambie akwende kwa Karma amuazime guu la bia.

Sana kunanenepeshaDar kunanenepesha![]()
,ndo maana nakupendaga dar,huku kwetu nyanda za juu shida bariidiTukifika Dar lile joto wiki moja tu tunanenepa na kutakataSana kunanenepesha,ndo maana nakupendaga dar,huku kwetu nyanda za juu shida bariidi

Tukifika Dar lile joto wiki moja tu tunanenepa na kutakata
Nyanda za juu baridi utadhani tunagandishwa kama barafu.
Hata Mimi imebidi niende kwenye browser ili nichungulie picha maana App sometimes haifungui picha.Dogoooo![]()
Me Caption yake imebdii nirudi nyuma kusubiri picha ifunguke. Nilichokuta hata robo kwa mawardat hakiingii.

Weka full nasi tumuone mtoto ritoo
HahahahaHata Mimi imebidi niende kwenye browser ili nichungulie picha maana App sometimes haifungui picha.
Nimestuka![]()
Hata ukija nenepa kule hufikiii

Kweli kabisaTukifika Dar lile joto wiki moja tu tunanenepa na kutakata
Nyanda za juu baridi utadhani tunagandishwa kama barafu.
Itabidi tuanze diet aisee
Watu wanabadilika jamani![]()
Wewe hazijaakushangaza picha zake?Hahahaha
Eti 'umestuka... Nimecheka kimbea sana![]()
