Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,997
- 137,013
Picha himo humu mkuuKwahiyo mkuu ndiyo umeweka picha mpaka network imekata jf, hebu irudiwe kuna wengine tulikua mbali na vilongalonga vyetu

Picha himo humu mkuuKwahiyo mkuu ndiyo umeweka picha mpaka network imekata jf, hebu irudiwe kuna wengine tulikua mbali na vilongalonga vyetu

Haifunguki eti mods wanatabu sanaPicha himo humu mkuu![]()
Duh itafunguka hapo baadae,utaonaHaifunguki eti mods wanatabu sana

Sawa mkuuDuh itafunguka hapo baadae,utaona![]()


ila HS Mungu anamuonaTulikuwa tunaelekea huko ila shule imempenda zaidi 😒😒My uncle mnyoe kama pogbanamuanda kuwa mwanasoka bora
Ngoja kwanza kidogo 😁😁Hahahaha leta handle yako kwanza tukakuinue
Ah safiiii


Tumepunguza kipilipili chetu 😒😒View attachment 1945699eView attachment 1945698
Siku ukiweka picha yako hapa naomba unitag BAK...
Sawa BAK naelewa.
Ila si unaweka hata mguu tu..Au unatoa sura![]()
Sawa..Unique tattoos zinaweza kujulikana.
Yaani anatuchomesha mahindi humu tangu huu Uzi umeanza 2019ila HS Mungu anamuona

Nadhani ni miongoni mwa majina ya Mungu likiwa na maana ya Mbarikiwa kwa sababu anastahili kwa kuwa alituokoa(mkombozi) na anaendelea kutuokoaHosanna tafsiri yake ni nyumba ya ibada right?