Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

FB_IMG_1631027851236.jpg
 
We wa kishua halafu last born msoto unaujua kweli au unausikia
Mimi wa kishua?
Kama mimi wa kishua basi kila mtu wa kishua..
Mtaani msoto mkali,
Ila shule sitaki tena hata kusikia..wala sitamani tena kuisikia,,nimefinalize kila kitu.

Now wacha nizungushe maji ya kandoro jiji lenu niokoteze mia Mia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah naelewa kuwa Zanzibar ni muunganiko wa visiwa vya Unguja na Pemba

Ila kiujumla Zanzibar ina mikoa mitano ambayo ni Mjini Magharibi, Unguja Kaskazini na Kusini, na Pemba Kaskazini na Kusini

Sema labda kwa vile watu wengi hawaufahamu huo mkoa wa Mjini Magharibi hivyo kuwarahishia ndiyo ukasema Forodhani iko Unguja right
Yaani mimi nilivyokuwa mzembe,sijui hata Rais wa Zanzibar anaishi unguja au pemba.


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Asanteee sana mkuu..
Ofa nzuri hivi,halafu bure kabisa naanzaje kukataa???

Ila isiwe tu kusafiri kwenye maji mkuu,nina phobia na maji.

Sent using Jamii Forums mobile app
This is polite rejection message...
Thanks...

Nimeshajibu boss wangu.

Kabla hayujaendelea na mjadala wa ofa hii nzuri;naomba uweke picha yako kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Am insecure about how i look...
Can I describe myself in a paragraph pls...
 
This is polite rejection message...
Thanks...


Am insecure about how i look...
Can I describe myself in a paragraph pls...

Sijakataa mkuu.

Twaenda lini?
Na vile zenji sijawahi fika!I wish to go one day.


Why insecure?
Jiamini bwana,,, hivyohivyo ulivyo.
Naomba nikuone.
Halafu nitakudescribe Mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom