Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,403
- 12,020
Nazisubiri kwa hamuTatizo umeangalia picha za hivi karibuni.
Nina picha huko juu karibu kila page
Sent using Jamii Forums mobile app
Nazisubiri kwa hamuTatizo umeangalia picha za hivi karibuni.
Nina picha huko juu karibu kila page
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hamsomi comments za uzi toka juuNazisubiri kwa hamu
Tatizo comments ni nyingi sana,uwezi kupitia zote...
hamna chakula hapo, huo wanakula labda watoto wa dar es salaam kabisaHoly Man huu msosi kwenu Mbalali anakula mtoto wa umri gani?




Kwa mahesabu ya haraka haraka hizo ni kama $40,000 siyo
Daah ila pesa yetu iko chini na haina thamani kabisa
Yani M90 zetu na ushee kwa hela yao unatembea nazo zikiwa katika vibunda vichache kama hivyo
Sisi zetu ni hadi utie kwenye briefcase/bag au ufungashe hadi watu wanakushitukia ulichobeba
, sasa omba usipewe elfu tano tano
.
Duh..Ukienda Bank kuchange unarudi na mzigooo, sasa omba usipewe elfu tano tano
.
View attachment 1927357
Haya ndio mapigo yangu sasa. Kiwanja cha wapi hiki.
Very talented, ni ya kuchorwa hii

Pongezi sanaYeah
huyo ana picha nyingi mno humu ndiyo maana simdai.Nasubiri picha niliyoomba.Tatizo comments ni nyingi sana,uwezi kupitia zote...
Nimeona picha zako ila umejificha sana.