Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Seems you like music Roger, what's is your favorite thing about music?

I do, can't go a day without listening to any in my playlist. My favourite thing is wordplay and substance.

When Cole said '/ Clown told me "ain't you Roc, but where the hell your chain at" / Guess it's something like your girl, bro it ain't came yet /'. To me, that's art.
 
1582345976685.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
NitakwambiaYah,maisha Yana stress.. unafanya hili unadhani umemaliza Mara linakuja lingine.

Sent using Jamii Forums mobile app

Zamani nilifikiri nikikua au nikipata kazi au kufanikisha jambo flani, maisha yatakua raha mustarehe.

Nilichojifunza maisha ni kukabiliana na changamoto, tunatofautiana tunavyozipokea na kushughulika nazo.

Uwezo wa kuhimili na namna ya kukabiliana nazo ndio inatutofsutisha kati ya mtu na mtu.

Siku ukifa ndio unapumzika moja kwa moja.
 
Zamani nilifikiri nikikua au nikipata kazi au kufanikisha jambo flani, maisha yatakua raha mustarehe.

Nilichojifunza maisha ni kukabiliana na changamoto, tunatofautiana tunavyozipokea na kushughulika nazo.

Uwezo wa kuhimili na namna ya kukabiliana nazo ndio inatutofsutisha kati ya mtu na mtu.

Siku ukifa ndio unapumzika moja kwa moja.

Kuna nyingine zinakuja unaweza hisi zipo nje ya uwezo wako.

Ndiyo,kufa Ni kipimo Cha kumaliza kutumikia kusudi tulilopewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom