Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,230
NdiwoooTena![]()
NdiwoooTena![]()
Kweli tenaTena![]()
KhaNdiwooo
Jirani yangu anayo mwambie akurushieKweli tena
Si uliona nilipotea,
Nilibanwa mno hata sikuona vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app

Shemeji yako kanikataza kurusha picha humuShemeji yako kanikataza kurusha picha humu




Mbona kama unatusanifu
Mimi najipiga picha ya kazi gani sasa? Labda kwa matukio muhimu kama passport size...
Watu mna masihara sana.. 🤣🤣🤣Mad Max nimekula 🤓View attachment 1926905
Nimekumind mkuu! Serious sijapenda ☠Zile zinazoanza na 07....au 06...Ila tuma inbox yangu tu nikupe hi.
Weka hata mkono mkuuMimi najipiga picha ya kazi gani sasa? Labda kwa matukio muhimu kama passport size...
Usijal kesho nitapiga kwa ajili yako,wewe ni wa muhim pia
Why jamani???😳Mbona kama unatusanifu
Unatakà nile sawa na wewe mtoto wa kiume?🙄🙄Watu mna masihara sana.. 🤣🤣🤣
Sawa
Hope umeridhika, sasa nione ya kwako