donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,130
Running outta supply....





Hili jina hujalibadilishaga tu?
Hili jina hujalibadilishaga tu?
.Lina maaana gani?Yaani hili halitabadilika tena lizoee tu.
Khaaaah!!Maana yake (Rich and Handsome).
Nakusalimia mdada mpole![]()
Naomba sungura mkuu
Naomba sungura mkuu
Daaah nimewaelewa sana Hilo chimbo liko wapiHahaha, sio wa kwangu mkuu, Hawa wapo hapa The Market Cafe wanajichanganya na wateja.
View attachment 1923637
Daaah nimewaelewa sana Hilo chimbo liko wapi
View attachment 1923646
bye bye Dom



tulikaa seat moja...




khaaaawakati wa kwenda nilikaa na mbibi, leo nimekaa na mdada![]()




kalumbu seat ya nyuma ako alikuepo mkaka mmoja alikua na madevu mengi sanaAsante mkuu wa kuselfisha ndoo na mkono.