Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,555
Mhh umeanza lini kunywa bia?
Mhh umeanza lini kunywa bia?
Juzikati hapa[emoji23]Mhh umeanza lini kunywa bia?
Weka pic nione[emoji3166]Juzikati hapa[emoji23]
Hivi sijakuonyesha picha nikiwa nakunywa!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huniamini?[emoji1787]Weka pic nione[emoji3166]
I am waiting...Huniamini?[emoji1787]
ISO M.CodD muwekee mchumba wangu ile picha ulipiga kwa simu yakoView attachment 1921228
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo mchumba.....I am waiting...
Walikudanganya hii ni bia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ni wine mchumba [emoji23], achana na hiyo Grand malt,,angalia hiyo glass pembeni,Walikudanganya hii ni bia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Is it amarula?Hiyo ni wine mchumba [emoji23], achana na hiyo Grand malt,,angalia hiyo glass pembeni,
Sasa nataka hiyo bia yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah [emoji23]Is it amarula?
[emoji23][emoji23][emoji23] njoo uchukue mchumba!Dah [emoji23]
Mchumba wangu wewe ni katibu mbobevu mfawidhi katika kitengo cha uchambuzi wa pombe.
Yaani umeitambua pombe ikiwa kwenye glass bila kuona chupa Yake?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3].
Ni yenyewe.
Naomba bia mchumba[emoji8]
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba uniletee nasubiri[emoji23][emoji23][emoji23] njoo uchukue mchumba!
Asante ISONilishaipost somewhere hapa Saint Anne View attachment 1921273
Mi nawashangaa mnatafuta waume kanisani. Husband material utampata bar au groceryNakunjaje wakati sina hela[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pombe soon nakunywa.
ISO M.CodD atakupa feedback..
Ila wanywaji mna upendo aisee,,hamkati tamaa[emoji23][emoji23][emoji23]na hamumuachi mwanafunzi ashindwe.
Sent using Jamii Forums mobile app