Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,426
Hahahaha fika hapa cape town fish market then nichek hii dhambi tuipate woteshare location. utamu wa motoni tuwe wengi.
Hahahaha fika hapa cape town fish market then nichek hii dhambi tuipate woteshare location. utamu wa motoni tuwe wengi.
Lisaa limoja mbele nateka mtu naenda nae lindo Fanya haraka mkuushare location. utamu wa motoni tuwe wengi.
Dah kamera yangu mbovu hadi chakula hakitambulikaniNini hiki?





...Dah kamera yangu mbovu hadi chakula hakitambulikani
Wana selfika nichangieni hela ninunue tecno ya laki.
Ni ugali mkuu na dagaa za karanga na parachichi na yai la kitunguu kingi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lala ukue binti
😃😃
Yaani kuna watu bila kupigwa matukio ya hapa na pale; hamjisikii amani kabisa mweeeeh😆😆😆Naona Heaven Sent ana kila dalili za kuwa kungwi katika hiliatuelezee
Maisha ni matukio mkuuYaani kuna watu bila kupigwa matukio ya hapa na pale; hamjisikii amani kabisa mweeeeh![]()



. Bila moyo kushtuliwa kidogo, hujisikii poa
Maisha ni matukio mkuu
Watu wanapenda changamoto na ku solve problems. Kuna ile feeling ya kuwin tamu sana. Hekaheka zina raha yake.







Watu wanapenda changamoto na ku solve problems. Kuna ile feeling ya kuwin tamu sana. Hekaheka zina raha yake.
Nakusalimia mdada mpole🖐️🖐️🖐️Bambalaga
Yaani kuna watu bila kupigwa matukio ya hapa na pale; hamjisikii amani kabisa mweeeeh![]()




