geraldincredible
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 2,035
- 7,227
hahahahhahahaha wa arusha miyeyusho et groly wanaita giloo







Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
hahahahhahahaha wa arusha miyeyusho et groly wanaita giloo







Na ule ndio nilikuita uuone. Sio upepo dogo wacha kuyumba.
😃😃😃 Macklina anaitwa Mackieee. Wanachekeshahahahahhahahaha wa arusha miyeyusho et groly wanaita giloo
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
hahahhaha geraaa geraaaa wamalizie gerahiaaMacklina anaitwa Mackieee. Wanachekesha
all in all bora umerudsha hili jina....jina la chillita lilikua linaboaMacklina anaitwa Mackieee. Wanachekesha



tubariki na kapicha.....IrudiweeNa ule ndio nilikuita uuone. Sio upepo dogo wacha kuyumba.

Jamani 😂 lilikuwa linaboa aje sasa?all in all bora umerudsha hili jina....jina la chillita lilikua linaboatubariki na kapicha.....
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
watu tuna crushika na id humu....ushazoea kuona depal kiasi aki like post yako unasisimukwaJamanililikuwa linaboa aje sasa?




mara ghafla chillita unabaki kushangaa chillita ndio vinini hivyo




ewaaaaHere we go for few minutes. geraldincredible View attachment 1923238
Weuh 🤣🤣🤣 basi limerudi, tuendelee kucrushikawatu tuna crushika na id humu....ushazoea kuona depal kiasi aki like post yako unasisimukwamara ghafla chillita unabaki kushangaa chillita ndio vinini hivyo
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
atusamehe mtoto wetu.......depal fo everybodyWeuhbasi limerudi, tuendelee kucrushika
Chilita me nalipenda huyu mtoto akiniita, siku nyingine anaita Cheli. Kananifurahisha.

Mkuu, huo mseto ni salama kwa afya kweli?Dah kamera yangu mbovu hadi chakula hakitambulikani
Wana selfika nichangieni hela ninunue tecno ya laki.
Ni ugali mkuu na dagaa za karanga na parachichi na yai la kitunguu kingi.
Naomba uselfike mkuu wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Picha hizi sisi wa mkoani tukiziona basi tunapagawaaa tunajua Dar pako kama New York.
Ni salama tu maana nimepakua kila kitu kwa kiasi kidogo tu ...Mkuu, huo mseto ni salama kwa afya kweli?
Yaani hadi nimesisimka.
Ngoja tumalizie kufua.Ni salama tu maana nimepakua kila kitu kwa kiasi kidogo tu ...
Naomba ujiselfie mkuu nikuone.
Sent using Jamii Forums mobile app