Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamani [emoji23] lilikuwa linaboa aje sasa?
watu tuna crushika na id humu....ushazoea kuona depal kiasi aki like post yako unasisimukwa[emoji7][emoji7][emoji3][emoji3][emoji3] mara ghafla chillita unabaki kushangaa chillita ndio vinini hivyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
watu tuna crushika na id humu....ushazoea kuona depal kiasi aki like post yako unasisimukwa[emoji7][emoji7][emoji3][emoji3][emoji3] mara ghafla chillita unabaki kushangaa chillita ndio vinini hivyo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Weuh 🤣🤣🤣 basi limerudi, tuendelee kucrushika

Chilita me nalipenda huyu mtoto akiniita, siku nyingine anaita Cheli. Kananifurahisha.
 
20210904_115501.jpg
 
Dah kamera yangu mbovu hadi chakula hakitambulikani[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Wana selfika nichangieni hela ninunue tecno ya laki.


Ni ugali mkuu na dagaa za karanga na parachichi na yai la kitunguu kingi.


Naomba uselfike mkuu wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, huo mseto ni salama kwa afya kweli?

Yaani hadi nimesisimka.
 
Back
Top Bottom