Kupendana sio kulishana, maana unaweza lishwa kwa unafiki pia. Ila nahisi ni caring maana huwezi kumcare mtu usiyempenda. Najua unajua banaa
Nilishapitia.. I know how beautiful is to love & to be loved.... Ushawahi bebea mamsap wako handbag? Kumlisha je? Kumtolea mifupa kwenye samaki?Public places likely kwenye ma restaurant huko Bila kujali macho ya watu... I've such experience.