Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Imenikumbusha mimi na Ex wangu tulikuwa mpaka tunanyweshana soda
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Safi
 
For the Record, Situmii Tecno wereva😉
Unamashauzi ila utajua mwenyewe...


Ndio mkuu hiz ficha kwangu zimeFade hazifanyi kazi kabisa.
Kuna sehemu umetouch bila kujua ikaondoa hizo features... Maana mi mwenyewe ilishanitokea.

Cha kufanya, bonyeza bonyeza huko kwenye hizo fonts sijui features kuna mahali utabahatisha.

Try this....mkono wa kulia kuna feature ipo kama kibox flani ila hakijafunga pande zote, ule upande ambapo hapajafunga kuna kidude kama kile cha kuzoom au kutazamia vitu vdogo vionekane vikubwa. Bonyeza hicho.... Jitahidi kuelewa 😂
 
Unamashauzi ila utajua mwenyewe...



Kuna sehemu umetouch bila kujua ikaondoa hizo features... Maana mi mwenyewe ilishanitokea.

Cha kufanya, bonyeza bonyeza huko kwenye hizo fonts sijui features kuna mahali utabahatisha.

Try this....mkono wa kulia kuna feature ipo kama kibox flani ila hakijafunga pande zote, ule upande ambapo hapajafunga kuna kidude kama kile cha kuzoom au kutazamia vitu vdogo vionekane vikubwa. Bonyeza hicho.... Jitahidi kuelewa 😂
Thanks D 😘
Nimefanikiwa
 
Back
Top Bottom