Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,426
Hahahaha utalii wa ndani nitafika siku mojaKaribu sana mbinga,
Ujionee maajabu ya hilo jiwe![]()
Hahahaha utalii wa ndani nitafika siku mojaKaribu sana mbinga,
Ujionee maajabu ya hilo jiwe![]()
Unachezea team gani?
Ile skendo yako imeishia wapi?
Weka ushahidi tuoneImenikumbusha mimi na Ex wangu tulikuwa mpaka tunanyweshana soda![]()
Wewe ulishapitia?Hujawahi kupenda na kupendwa![]()
Ni maeneo gani hapa? Litembo? Nikifika Mbinga nitafika hapo
Mbinga ni wapiUnacheka![]()
SongeaMbinga ni wapi
Look pretty closeHebu tuone hivyo ulivyonyoa na mkasi
Oooh ahsanteSongea.
Yeye mwenyewe ni tapeli namba moja dunianiAnatafuta matapeli!![]()
Sijategemea... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwee mbona hata kule kwenye road trips siyo mdau kabisa siku hizi sijui anashinda wapiHebu kwanza muite na Mama yako hapa..
Maana naona siku hizi mnashinda wote kwenye Uzi wa Road trip..
Hujawahi kupenda na kupendwa![]()




kupendana ndio kulishana??