Picha ya mwaka 77 tunajiandaa kwenda Uganda kwenye ile vita na Iddi Amini.
Vipi yale mambo Chakorii au bado unaogopa kuniua kizee miye? Unajua nilishawaambia wajukuu wanitumie nauli in case ukamaliza pension yangu huko Zanzibar? Bila kusahau mazoezi ya utimamu ya kuogelea iwapo nauli ikichelewa kutumwa🙊😜🏃🏻🏃🏻
Picha ya mwaka 77 tunajiandaa kwenda Uganda kwenye ile vita na Iddi Amini.
Vipi yale mambo Chakorii au bado unaogopa kuniua kizee miye? Unajua nilishawaambia wajukuu wanitumie nauli in case ukamaliza pension yangu huko Zanzibar? Bila kusahau mazoezi ya utimamu ya kuogelea iwapo nauli ikichelewa kutumwa🙊😜🏃🏻🏃🏻