😀😀😀unigawie hivyo hivyoExactly madam, Mimi nilipoenda nilikuta bei 3500. Kwahiyo nilibeba vingi, isingekuwa udogo wa gali letu ningebeba vya kuwagawia na akina Depal manake ni mpenzi sana wa Chipsi 😀
Mara ya kwanza kufika Mbeya nilishangaa nakula Chipsi za 500 na nikashindwa kuzimaliza, ughonile Mbeya🙌🙌
Enzi hizo nilikuwa bwana mdogo niko Shuleni pale Mbeya so nikiwa nimechoka kula ugali maharage nafika zangu abroad nagonga kiepe.😀😀😀unigawie hivyo hivyo
Mwaisa kiepe ya jero tu unashindwa kumaliza? Aah bana 😂 kwamba ndiyo zinakuwaga nyingi kama za elfu 2000?
Umeficha kitambi
Ndizi na carrot hata huku zipo nyingi.Enzi hizo nilikuwa bwana mdogo niko Shuleni pale Mbeya so nikiwa nimechoka kula ugali maharage nafika zangu abroad nagonga kiepe.
Next week nitapita tena Mbeya, kwahiyo lazima nikahemee viazi, maparachichi, hoho, carrot, ndizi za kutosha na Mchele wa Kamsamba. Kwahiyo miss Depal andaa chombo tu cha kubebea 😀
Nitasubiria hapa stendi rafiki.Sawa
Sawa kakaNitasubiria hapa stendi rafiki.
Ulikuwa lamadi ?
Yaani ulikaribia home kabisa dah !
Watafute red oxide na brush wapake
Lugha za Kibantu hizi. Nimeelewa baadhi ya maneno hapo na ujumbe uliokusudiwa...
Leo nimeamua kwenda deep ili wakiona wasome,wakisoma wasielewe
Ukimuona Jack mwambie akununulie bia zozote unazotaka,mimi nitamlipa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Saguda bhana huyu ni wewe😄Nilimtembelea rafiki yangu ofisini kwake na kuamua kujiselfie! Jamaa ana fight Sana kimaisha hongera brooView attachment 1878284