Hahaaa kitengo gani tena hicho
Kweli like father like son.My lovely boyView attachment 1877727
Sijaamini ulivyoiwahi ile picha









Nikuletee kiasi gani, Nina safari ya huko soonDodoma kuna karanga Sana.
Una Safari ya wapi mkuu?Nikuletee kiasi gani, Nina safari ya huko soon
Angalia tu usije ukamrithi have na ile dini yenu uliyoenda chuo SAAnaipenda mnooo


Ya Umalila kwenu😀Una Safari ya wapi mkuu?
Hahaha!Ya Umalila kwenu![]()
Kuna siku niliwahi kwenda njia hiyo ya Umalila. Kuna Kijiji wanalima Sana Viazi mviringo na pareto. Nimesahau jina tuHahaha!
Halafu kwetu siyo umalila na wala sijawahi fika.
Kule viazi vingi sanaKuna siku niliwahi kwenda njia hiyo ya Umalila. Kuna Kijiji wanalima Sana Viazi mviringo na pareto. Nimesahau jina tu
ni kikao cha Ukwata??🧃 weekend with friends...ilikuwa kabambe..View attachment 1877677
