Mwisho wasiku ikabidi aanze kumsifia kwenye maeneo mengine. Maana alijua kwenye appearance na usafi ndio ashafeli.
Eti mke wake katuzidi Elimu ana kazi zuri, ana akili na simu zuri ana nidhamu anajua kupika na blah blaah.
Mwisho wasiku ikabidi aanze kumsifia kwenye maeneo mengine. Maana alijua kwenye appearance na usafi ndio ashafeli.
Eti mke wake katuzidi Elimu ana kazi zuri, ana akili na simu zuri ana nidhamu anajua kupika na blah blaah.
Hahahaha kubwa ni kuwa team moja mbona tutawanyoosha wote vya udomo, mi nakubali kuna watu kukwazana lkn ndo utukane jamii yake yote??? Kumfata pm alishindwa!! Ustaarabu ni kitu cha bure